Timu ya wanawake wa Tanzania ya mpira wa mikono, imepewa nafasi kubwa ya kutwaa ubingwa wa michuano maalum ya Afrika mashariki na kati *Kombe la Challenge* itakayoanza kutimua vumbi lake April 29-May 5 mwaka huu huko nchini Djibouti.
Nafasi hiyo kwa timu ya Tanzania imetolewa na katibu mkuu wa Chama cha mpira wa mikono hapa nchini TAHA, Nickolaus Mihayo alipozungumza na Michezo na Times ambapo amesema mpaka sasa timu hiyo inajiandaa vyema.
Hata hivyo Mihayo amesema timu ya Tanzania itaundwa na wachezaji kutoka Tanzani bara na visiwani ambao watatangazwa hivi karibuni.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment