Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 11, 2010

SIMBA, YANGA WACHEZAJI WALIA NA MISHAHARA

Wachezaji wa vilabu vikongwe nchini vya Simba na Yanga wameendelea kulia njaa kufuatia kutopatiwa mishahara yao mpaka leo.
wachezaji hao kwa nyakati tofauti wamelalamika kuwa wamekuwa wakiishi kwa shida kutokana na kutopata mishahara yao inayowawezesha kujikimu wao pamoja na familia zao.
Kwa uapnde wa Yanga Afisa Habari wa Yanga Luis Sendeu akizungumzia madai hayo amekiri kutopatiwa mishahara kwa wachezaji na kusema haoni ajabu yeyote katika suala la kuchelewa kwa mishahara.
Kwa upande wa wekundu wa Msimbazi Simba, nako hadithi ni ile ile ambapo mhazini wa kuajiriwa wa klabu hiyo Chano Almasi amesema mcehzaji anayelalamikia kutopata mshahara wake akaangalie kwenye account yake ya benki.Chano Almasi amesema yeye ndiyo anyetunza na kutoa fedha hivyo anaamini fika tayari fedha wamekwishapeleka benki na kuwataka wachezaji hao kwenda kuchukua benki.
Klabu ya Simba kwa sasa imeweka kambi visiwani Zanzibar kujiwinda na mchezo wao wa ligi kuu ya Tanzania Bara dhidi ya Azam FC utakaochezwa katika uwanja wa Uhuru Jijini Dar es Salaam siku ya Jumapili.
lakini pia kambi hiyo ni sehemu ya maandalizi ya mchezo wao wa kimataifa wa kombe la shirikisho barani Afrika.

No comments :

Post a Comment