Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, March 7, 2010

MCHEZAJI WA NIGERIA AFARIKI UWANJANI

Mcheza soka wa Nigeria Endurance Idahor amefarikki Dunia baada ya kupoteza fahamau wakati wa mchezo uliyochezwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
Idahor, mwenye umri wa miaka 25, ambaye alikuwa akiichezea klabu ya Al-Merreikh ya Sudan, aligongana na mchezaji mwingine muda mchache baada ya mchezo kuanza,
Taarifa hiyo imetolewa na uongozi wa Soka la Suadan.
"Lilikuwa ni tukio la kawaida la kugongana kwa wachezaji," anasema kiongozi ambaye hakutaka jina lake lkiandikwe na waandishi wa habari kwa sababu hakuwa ameteuliwa rasmi kuwa msemaji.
"Alianguka na sasa amefariki Dunia. It is a huge shock to Sudan's whole sporting family." anasema.
Imebainishwa Idahor alipoteza fahamu wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Sudan kati ya klabu ya El Mareikh na Al-Amal, mchezo ambao ulikuwa ukichezwa katika dimba la Al-Merreikh uliyopo jijini Khartoum maeneo ya Omdurman.

1 comment :

  1. Huyu mchezaji bwana yaelekea afya yake ilikuwa mgogoro, nadhani wangemchunguza before mech kuanza wangegundua hilo.

    ReplyDelete