Mcheza soka wa Nigeria Endurance Idahor amefarikki Dunia baada ya kupoteza fahamau wakati wa mchezo uliyochezwa Khartoum, mji mkuu wa Sudan.
Idahor, mwenye umri wa miaka 25, ambaye alikuwa akiichezea klabu ya Al-Merreikh ya Sudan, aligongana na mchezaji mwingine muda mchache baada ya mchezo kuanza,
Taarifa hiyo imetolewa na uongozi wa Soka la Suadan.
"Lilikuwa ni tukio la kawaida la kugongana kwa wachezaji," anasema kiongozi ambaye hakutaka jina lake lkiandikwe na waandishi wa habari kwa sababu hakuwa ameteuliwa rasmi kuwa msemaji.
"Alianguka na sasa amefariki Dunia. It is a huge shock to Sudan's whole sporting family." anasema.
Imebainishwa Idahor alipoteza fahamu wakati wa mchezo wa ligi kuu ya Sudan kati ya klabu ya El Mareikh na Al-Amal, mchezo ambao ulikuwa ukichezwa katika dimba la Al-Merreikh uliyopo jijini Khartoum maeneo ya Omdurman.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
Huyu mchezaji bwana yaelekea afya yake ilikuwa mgogoro, nadhani wangemchunguza before mech kuanza wangegundua hilo.
ReplyDelete