Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 3, 2010

TBF YATANGAZA MAFUZO YA UAMUZI WA MPIRA WA KIKAPU

SHIRIKISHO la Mpira wa kikapu Nchini TBF kupitia katika Kamisheni ya Waamuzi imeandaa mafunzo ya Awali kwa waamuzi wa kikapu nchini inayotambuliwa na Shirikisho la kikapu la Dunia FIBA April 10 mwaka huu mkoani Arusha.
katibu Mkuu wa TBF Alexander Msoffe amesema kozi hiyo itakuwa na manufaa makubwa kwa waamnuzi wa kikapu kwani wengi hawajapata nafasi ya kupandishwa madaraja na kutambuliwa na FIBA
Ametaja mikoa inayounda kanda hiyo kuwa ni Kilimanjaro, Tanga , Manyara na wenyeji Mkoa wa Arusha mbako Mafunzo hayo yatafanyika licha ya waamuzi wengine katika mikoa mingine wanayo nafasi ya kushiriki.
Katibu Mkuu amesema Mafunzo hayo ya siku Nne yamelenga waliowahi kucheza au wanacheza kikapu na
Walimu wa ngazi zote kuanzia Shule za Msingi nawatalazimika kujigharamia.
Kufuatia hali hiyo amewatolewa wito maafisa michezo nchini kutoa ushirikiano kwa kushirikiana na makatibu wa TBF wa Mikoa kuhakikisha wanatoa washiriki kadri wawezavyo.
Msoffe amesema licha ya kutambuliwa na FIBA itawapa Fursa nzuri waamuzi wa Tanzania kutambuliwa kimataifa zaidi hivyo ni vema kuitumia badala ya kuchezesha bila kutambuliwa wakati ni waamuzi wazuri.

1 comment :

  1. Mzuka mzee wa viwanja mambo yako tunayakubali, upo juu

    ReplyDelete