
Akizungumza na kipindi hiki Naodha wa timu ya taifa ya mchezo wa ngumi Joseph Martini amesema wametembelea nchi mbalimbali na kuona mabondia wenzao wanavyofanaya mazoezi na vifaa vizuri lakini kwa upande wao wanashindwa kufanya mazoezi vizuri kutokana na tatizo la vifaa.
No comments :
Post a Comment