Shirikisho la kandanda Duniani FIFA inatarajiwa kusikiliza madai ya shambulio lililofanywa nchin Misri wakati Algeria kabla ya mchezo wao wa kufuzu kucheza fainali za kombe la Dunia mjini Cairo tarehe 15 April.kwa mujibu wa sheria za kinidhamu za FIFA zinaitaka nchi mwenyeji kuhakikisha usalama wa wageni.
Misri ilishinda mchezo huo kwa magoli 2-0 na kulazimisha kuchezwa mchezo wa mtoano nchini Sudan, ambapo Algeria ilishinda 1-0 na kufanikiwa kutinga fainali za kombe la Dunia nchini Afrika Kusini.

No comments :
Post a Comment