Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 24, 2010

FRANK RIBERY SIWEZI KUIMBA WIMBO WA CHELSEA

Mchezaji FRANCK RIBERY ametupilia mbali madai ya kujiunga na klabu ya Chelsea kipindi cha majira ya joto.

Ribery, mwenye umri wa maika 26, anamkataba na klabu yake ya Bayern Munich hadi mwaka 2011 na klabu hiyo kongwe nchini Ujerumani bado inataka kumuongezea mkataba.

Chelsea haijafanya siri kuhusu nia yao ya kkutaka kumsajili mchezaji huyo wa kimataifa wa Ufaransa lakini inaonekana suala la kutua Stamford Bridge kuwa gumu kuliko kwenda nchini Hispania.

Amesema licha ya Klabu ya Chelsea kuwa ni klabu kubwa, lakini ni bora nikaenda kucheza soka nchini Hispania endapo nitaamua kuondoka Bayern.

No comments :

Post a Comment