
Maashindano hayo ya kila mwaka yanashirikisha wachezaji wote kutoka nchi zote zinashiriki mchezo huo huku timu ya Tanzania ikiwakilishwa na wachezaji kumi na moja.
Katibu mkuu wa Shirikisho la Riadha Tanzania AT, Suleimani Mujaya Nyambui amesema kwamba kwa sasa wapo katika maandalizi ya mwisho mwisho ili kuhakikisha timu inaondoka bila ya matatizo yeyote.
No comments :
Post a Comment