
Akizungumza na Michezo na Times Msofe amesema kwa mwaka huu wana imani timu za majiji ya Tanzania zitafanya vyema na kufika mbali kwenye michuano hiyoa mbayo hufanyika kila mwaka.
Msofe ametanabai kuwa imani hiyo ya timu hizo kufanya vyema mwaka huu imekuja kufuatia wao kama viongozi wa TBF kupata taarifa nzuri za maandalizi kutoka kwa viongozi wa vyama mikoa inakayounda timu za majiji.
No comments :
Post a Comment