Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, March 18, 2010

TEGETE AKWEA PIPA KWENDA SWEDEN


Tegete amekwea pipa kuelekea nchini Sweden huku tayari Taifa Starz ikiwa imeingia kambini kujiandaa na mchezo wake wa kwanza wa kuwania kufuzu fainali za mataifa bingwa barani Africa CHAN dhidi ya SOMALIA,mchezo utakaochezwa Jumamosi ya March 27 kwenye uwanja wa Uhuru.
Mkurugenzi wa NDUMBARO SOCCER AGENCY DAMAS NDUMBARO amesema Tegete atakuwa kwenye majaribio mpaka mwishoni mwa mwezi huu.
Tegete anatarajiwa kurejea nchini tarehe 31 ya mwezi huu kabla ya kupigwa mchezo kati ya Simba na Yanga.

No comments :

Post a Comment