Wachezaji watatu wa Watoto wa Jangwani YANGA Jerson Jerry Tegete,Razak Khalfan na Ally Msigwa wanataraji kutimkia nje ya nchi kufanya majaribio ya kucheza soka la kulipwa.
Afisa habari wa YANGA LOUIS SENDEU amesema Tegete anatakiwa na DULKUD FF ya ligi daraja la pili nchini Sweden huku Razak akitakiwa na klabu ya Vancouver White Caps anakosukumia gozi kaka yake Nizar Khalfan na Msigwa yeye akitakiwa na timu ya HIGHRENDAZ.
Wakati huohuo maandalizi ya Uchaguzi mkuu wa klabu hiyo ya YANGA yanaendelea ambapo marekebisho ya katiba yamesambazwa katika matawi yote ya Tanzania ili wajiridhishe.
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment