Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 17, 2010

CHELSEA YATOLEWA MABINGWA ULAYA

Chelsea imeondolewa katika michuano ya ligi ya mabingwa barani Ulaya baada ya vijana wa Jose Mourinho, Internazionale kuibuka na ushindi wa goli 1-0 katika dimba la Stamford Bridge na kufanikiwa kutinga hatua ya robo fainali kwa jumla ya magoli 3-1.
Inter imekuwa ikitolewa katika hatua ya mtoano ambayo hujumuisha klabu 16 katika ligi ya mabingwa barani Ulaya katika kipindi cha misimu mitatu mfululizo, tena ikiotolewa na klabu za Uingereza mara mbili, lakini Samuel Eto'o kunako dakika 79 ilitosha kuwaondosha Chelsea nje ya ligi ya mabingwa.
Didier Drogba alijikuta akitolewa kwa kadi nyekundu dakika tatu kabla ya mpira kumalizika kufuatia kumchezea Thiago Motta.
Makocha wote wawili walifanya mabadiliko, kocha Mourinho alimuingiza Goran Pandev na kufanya safu ya ushambuliaji kuwa na wachezaji wa tatu ikiwa ni pamoja na Eto'o na Diego Milito, wakati Carlo Ancelotti alimuingiza mlinzi Paulo Ferreira pamoja na Yuri Zhirkov.
Golikipa nambari tatu wa Chelsea Ross Turnbull alikaa golini ikiwa ni mchezo wake wa tatu akiwa amaevalia jezi ya Chelsea.
Mdau wa viwanjani anawapa Pole mashabiki wa Chelsea na kuwapongeza mashabiki wa Inter MilanDidier Drogba akimuomba msamaha Mwamuzi baada ya kumlima kadi nyekundu.Makocha kazini, Morinho naye anambwembwe?

No comments :

Post a Comment