Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimfariji mmoja wa walionusurika katika ajali ya
meli jana huko Chumbwe wakati Rais na Mama Salma Kikwete
walipowatembelea kuwafariji na kuwapa pole katika hospitali kuu ya Mnazi
Mmoja leo.
Rais Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete wakitembelea Uwanja wa Maisara, Zanzibar, ambako ndiko miili ya marehemu huletwa kwa utambuzi baada ya kuokolewa kwenye eneo la ajali leo
No comments :
Post a Comment