Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, July 8, 2012

STANBIC FAMILY DAY CELEBRATIONS


Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Stanbic Tanzania, Bashir Awale (kulia) akikabidhi kikombe kwa timu iliyoibuka kidedea katika michezo yote ilikyofanyika wakati wa siku ya wanafamilia wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.

 Mfanyakazi wa Benki ya Stanbic, Robert Kawonga akirudisha mpira upande wa wapinzania wao katika mchezo wa mpira wa wavu katika moja ya michezo kuadhimisha siku ya wanafamilia wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.
 Wafanyakazi wa benki ya Stanbic Tanzania wakishindana katika mchezo wa kuvuta kamba ili kumpata mshindi, katika moja ya michezo kuadhimisha siku ya wanafamilia wa benki hiyo jijini Dar es Salaam jana.
 Hapa wakichuana katika soka la ufukweni katika shamra shamra ya siku ya wanafamilia wa benki hiyo.

No comments :

Post a Comment