Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 16, 2012

BENKI YA POSTA YASHIRIKI KATIKA FUTARI NA WATEJA WAKE



 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi  akiwakaribisha wateja wa benki hiyo kwenye hafla ya Futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa ajili ya wateja wake. Hafla hiyo ilifanyika kwenye hoteli ya Serena jijini Dar es Salaam.
 Mkurugenzi Mtendaji Mkuu wa Benki ya Posta Tanzania, Sabasaba Moshingi  akiongea na wateja wa benki hiyo waliofika kwenye hafla ya Futari iliyoandaliwa na Benki hiyo kwa ajili ya wateja wake. Hafla hiyo ilifanyika kwenyehoteli ya Serena jijini Dar es salaam.

No comments :

Post a Comment