Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 14, 2012

Ushirikiano na TAMIDA ni muhumu; Serikali



Katibu mkuu wa wizara ya nishati na madini Eliakimu Maswi akiwa na Kaimu kamishna mkuu wa wizara hiyo Ally Samaje na mwenyekiti wa Tamida hapa nchini Sam Mollel wakiwa kwenye mkutano wa kujadiliana juu ya Bei elekezi na ushirikiano jijini Arusha 
*****
Mahmoud Ahmad Arusha
Wizara ya nishati na Madini imesema kuwa haina tofauti na TAMIDA kwani chama hicho kinatakiwa kutoa ushirkiano ili kuweza kuipeleka mbele sekta ya madini kukuza na kuinua uchumi kupitia sekta hiyo.

Akizungumza na wafanyabiashara wadogo wadogo wa vito jijini Arusha Katibu mkuu wa wizara hiyo Eliakim Maswi alisema kuwa sekta hiyo ni muhimili wataifa hivyo bei elekezi isiwe ndiyo ya kukwepa  kuilipa mapato serekali na kuwataka wanachama wa TAMIDA kushirikiana na serekali kuwafichua wezi warasilimali zetu.

“Mtanzania mzalendo ni Yule anayeilipa serekali kodi halali nanyi mnafanya hivyo hivyo kuweni macho na wale wote wanaotaka kupandia mgongoni mwenu na mtupe ushirikiano kuwafichua wale wote wanaohujumu sekta hii ya madini”alisema Maswi.

Tamida na wizara wamefikia makubaliano ya kutumia Bei elekezi hapa nchini ili kutatua tatizo la bei linalowakumba wafanyabiashara wadogo hapa nchini na kukuta wanauza bei ndogo kwa wajanja bila ya kuwa na taarifa ya bei iliyoko sokoni kwa wakati huo.

Maswi alisema kuwa zaidi ya usd.2.2 bilioni serkali ilikuwa inaidai kamuni ya TANZANITE ONE kutokana na kodi ya tozo ya mrahaba waliyokuwa wamekwepa kuilipa serekali tokea mwaka 2004

No comments :

Post a Comment