Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 19, 2012

MAKAMU WA RAIS AONGOZA SWALA YA IDD EL FITR




 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dk. Mohammed Gharib Bilal, (wa pili kushoto) Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi, (wa tatu kushoto) wakijumuika na waumini wa dini ya Kiislamu katika swala ya Sikukuu ya Idd El Fitr iliyofanyika leo katika Viwanja vya Mnazi Mmoja jijini Dar es Salaam
 Waumini wakiwa katika Swala ya Idd El Fitr
 Rais mstaafu wa awamu ya pili, Ali Hassan Mwinyi akisalimiana na waumini wa dini ya Kiislamu baada ya Swala ya Idd El Fitr
 Makamu wa Rais Dk. Gharib Bilal kitoa salamu za Idd kwa waumini wa Kiislamu leo
Mwenyekiti wa CUF, Prof Ibrahimu Lipumba akiwa na Mbunge wa Ilala, Idd Azan Zungu wakati wa |Swala ya Idd El Fitr leo

No comments :

Post a Comment