Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, August 18, 2012

KAMPUNI YA MSAMA PROMOTIONS YAKAMATA WEZI WA KAZI ZA WASANII MJINI DODOMA



 Askari wa Kituo Kikuu cha Polisi mjini Dodoma akisaidia kuziweka pamoja moja ya Computer zenye kudurufu kazi za wasanii kwa njia haramu , wakati wa msako wa kukamata wezi wa kazi za wasani ulioendeshwa na Kampuni ya Msama Promotion mjini humo, wanaoonekana pichani ni baadhi ya watuhumiwa waliokamatwa na kufikishwa kituoni hapo.
Mkurugenzi wa Kampuni ya Msama Promotion, Alex Msama , akiwaonesha waandishi wa habari hawapo pichani baadhi ya Computer zilizokamatwa pamoja na wanaozilimiliki na kufanya kazi haramu ya kudurufu kazi za wasanii, jumla ya computer zenye thamani ya milioni 47 zilisalimishwa katika Kituo Kikuu cha Polisi mjini Dodoma.
(PICHA ZOTE NA DIRA MEDIA

No comments :

Post a Comment