Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 16, 2012

Wazee wa iliyokuwa EAC wasema harufu ya pesa zao inanukia.




Mmoja wa Wazee wa Iliyokuwa Jumuiya ya Afrika Mashariki Emilian Belege, Akizungumza wakati wa mkutano wa wazee wastaafy wa jumuiya hiyo ambao hukutana kila siku ya alhamisi kupeana taarifa za maendeleo ya kesi yao ambayo wameifungua kwenye Mahakama ya Afrika kanda ya Arusha ambapo kwa mujibu wa maendeleo ya kesi hiyo kuna kila dalilili ya kupata ushindi.
Wazee wakinunua nakala za maendeleo ya kesi yao waliyofungua mahakama ya Afrika kanda ya Arusha mara baada ya Mkutano huo unaofanyika kila siku ya alhamisi jijini Dar es Salaam.
Wazee hao wakiwa na vijana ambao wamerithi deni hilo kutoka kwa wazazi wao.
Bibi Nuru Hamisi aliwakilisha waisilamu kusoma dua kwenye mkutano huo.
Bi Nazarine Mwagala akiwakilisha wakristo kufanya maombi kwenye mkutano huo.
Hii ni sehemu uchochoro wa mlima ambao hata gari ni vigumu kupita kutokana na wembamba lakini wenye muinuko mkali, hapa ni eneo dogo la Keko Mwanga ambako hata gari halipiti.

Watoto nao hupata shida sana kupanda kilima hiki hasa inapokuja suala la kufuata huduma muhimu upande wa pili wa eneo hilo, suluhu ya adhabu hiyo ni ujenzi wa daraja tu.

No comments :

Post a Comment