Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 16, 2012

MFUKO WA AKIBA YA WAFANYAKAZI SERIKALINI (GEPF) WAFUTURISHA WAGONJWA WA SARATANI



 Mkurugenzi Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi  Serikalini (GEPF), Anselim Peter akitoa pole kwa wagonjwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam wakati wafanyakazi wa mfuko huo waliposhiriki futari na wagonjwa waliolazwa katika taasisi hiyo. Kushoto ni Meneja Masoko wa Mfuko huo, Aloyce Ntukamazina
 Mkurugenzi Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi  Serikalini (GEPF), Anselim Peter akiandaa futari.
 Meneja Masoko wa Mfuko huo, Aloyce Ntukamazina akimpa futari mmoja wa wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road.
 Mkurugenzi Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi  Serikalini (GEPF), Anselim Peter
 Baadhi ya wagonjwa wakipata futari.
Mkurugenzi Uendeshaji wa Mfuko wa Akiba ya Wafanyakazi  Serikalini (GEPF), Anselim Peter pamoja na Menja Masoko wa mfuko huo, Aloyce Ntukamazina kulia wakishiriki futari pamoja na wagonjwa waliolazwa katika Taasisi ya Saratani Ocean Road jijini Dar es Salaam.

No comments :

Post a Comment