Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 19, 2012

MREMBO WA CHINA ATWAA TAJI LA DUNIA





Mrembo wa China, Yu Wenxia leo ametwaa taji la mrembo wa dunia wa mwaka 2012 baada ya kuwabwaga washiriki wenzake zaidi ya 100 katika shindano lililofanyika mjini Sanya, China.

Katika shindano hilo, mrembo kutoka Wales, Sophie Elizabeth Moulds aliibuka mshindi wa pili wakati mrembo wa Australia, Jessica Michell Kahawaty alishika nafasi ya tatu.

Hii ni mara ya pili kwa mrembo kutoka China kutwaa taji hilo. Mara ya mwisho ilikuwa mwaka 2007 wakati taji hilo liliponyakuliwa na Zhang Zilin.

No comments :

Post a Comment