Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 21, 2012

MISS WORLD TANZANIA LISA JENSEN AREJE KUTOKA CHINA



Mrembo Lisa Jensen ambaye ni Miss World Tanzania 2012, akizungumza na Mkurugenzi wa Kamati ya Miss Tanzania, Hashim Lundenga, wakati alipowasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere,  jijini Dar es Salaam jana jioni akitokea nchini China alipokwenda kuiwakilisha nchi katika mashindano ya urembo ya Dunia mwaka huu na kupokelewa na viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania.
Lisa, akizungumza na viongozi wa Kamati ya Miss Tanzania, kutoka kushoto, Katibu Mkuu, Bosco Majaliwa, Mrembo Amisa Hassan, Mkurugenzi Hashim Lundenga na Ofisa Habari wa Kamati, Haidan Rico.
Lisa akipozi kwa picha na mmoja kati ya warembo waliofika kumpokea Amisa Hassan. Lisa alifanikiwa kuingia Robo fainali za Top Model na kumi na bora ya Shindano la Multmedia Award 2012.

No comments :

Post a Comment