Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 21, 2012

Asasi za Kiraia zaikaba Serikali




Mwenyekiti wa kamati ndogo iliyoundwa na asasi za kiraia kutetea haki ya Gazeti la Mwanahalisi Marcossy Albanie, akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam leo, kulia ni Mkurugenzi wa MISATANZANIA Tumaini Mwailenge.
Waandishi wa habari wakiwa kazini leo jijini Dar es Salaam wakati wa tukio hilo.

Mwenyekiti wa MISA TANZANIA Mohamed Tibanyendera, akizungumza kwenye mkutano huo.

No comments :

Post a Comment