Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 19, 2012

HABARI KATIKA PICHA



 Mkuu wa Mawasiliano na Masoko wa Vodacom, Kelvin Twisa akizungumza na wamiliki wa vyombo vya habari (hawapo pichani) wakati wa warsha ya siku mbili iliyoandaliwa na Kampuni ya Capital Plus International (CPI) kwa wadau mbali mbali jijini Dar es Salaam.
 Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), ambaye pia ni  Kiongozi wa Kambi ya Upinzani Bungeni, Freeman Mbowe akiwasili kwenye  Uwanja wa Kwa Mbombe katika kijiji cha Madizini, Kata ya Mtibwa mkoani  Morogoro ambako alihutubia mkutano wa hadhara wa Opereshi Sangara juzi. (Picha na Joseph Senga)
Jitihada za Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) za kuwafikia  wanachi ili kunadi sera zake, hususan katika mikutano inayoendelea katika mkoa wa Morogoro, zilikumbana na vikwazo mbali mbali katika baadhi ya maeneo, kama inavyoonyesha pichani, mtaro uliochimbwa katika barabara ya
kuingia kijiji cha Namgezi kitongoji cha Kambi ya Keya jimbo la Ulanga  Mashariki, kwa lengo la kuzuia magari yasipite. (Picha na Joseph Senga)


No comments :

Post a Comment