Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, August 16, 2012

SIMBA YATAMBULISHA VIFAA VYAKE, YAIFUNGA AZAM 2-1



 Wachezaji wa timu ya Simba wakishangilia goli la kwanza lililofungwa na mshambuliaji Rashid Ismail kwenye mchezo wa nusu fainali ya sup8r uwanja wa Taifa dhidi ya Azam. Simba ilishinda 2-1 na kuingia fainali ya michuano hayo itakayofanyika Agost 18 kwa kuzikutanisha timu za Mtibwa Sugar na Simba.Mtibwa Sugar imeingia hatua ya fainali baada ya kuifunga Jamhuri ya Zanzibar 5-1

Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zakaria Hanspop akikabidhi jezi namba 5 mchezaji mpya wa klabu hiyo,Paschal Ochieng. Katikati ni Makamu Mwenekiti wa Simba, Geofrey Nyane 'Kaburu'
Mwenyekiti wa Kamati ya Usajili ya klabu ya Simba, Zakaria Hanspop akikabidhi jezi namba 13 mchezaji mpya wa klabu hiyo, Daniel Akuffo.
You might also like:

No comments :

Post a Comment