Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 22, 2012

WADAU TUMUWEZESHE MISS EAST AFRICA BELGIUM 2012



Miss East Africa Belgium 2012
Miss Juliana Pierre, Mwakilishi wa Tanzania kwenye mashindano ya fainali za Miss East Africa Belgium yatakayofanyika tarehe 1 September 2012.
 Wadau na watanzania wote kwa ujumla, Dada yetu Juliana Pierre, anahitaji sana msaada wenu wa kuweza kumtangaza kwa ajili ya Fainali hizo alizoingia za Miss East Africa Belgium 2012.
Anahitaji kuweza kupata watu wengi zaidi kwenye ukurasa wake wa Facebook zaidi ya washiriki wenzake kwa kuingia na ku bonyeza "like" Bofya kwenye link hii chini: http://www.facebook.com/JulianaPierreFinalisteMissEastAfricaBelgium2012
 

Muunge mkono mwakilishi wetu huyu kwenye Fainali husika kwa kuongeza  idadi ya kufahamika kwake, kwani kuingia kwako na kubofya 'Like' tayari utakuwa umemuongezea kura zake kwa kuongeza idadi ya watu wanaoingia katika ukurasa wake.

''Juliana ameweza nasi, Tumuwezeshe Tusimuangushe''Tangaza Vipaji Vyetu,Tangaza Utalii Wetu, Tangaza Tanzania.

No comments :

Post a Comment