Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Sunday, August 19, 2012

MSAMA AMSAIDIA SH. MILIONI MOJA MCHEZAJI WA ZAMANI WA SIMBA,TAIFA STARS, ALPHONCE MODEST KWA AJILI YA MATIBABU YA MIGUU



 Mratibu wa Tamasha la Injili la Pasaka Tanzania, Alex Msama (kushoto), akimkabidhi msaada wa sh. mil. 1, mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa Stars, Alphonce Modest za kusaidia matibabu ya miguu inayosumbuliwa na baridi yabisi. Msaada huo uliokabidhiwa Dar es Salaam leo, ulihamasishwa na Mhariri Kiongozi wa gazeti la Champion, Saleh Ali (wa pili kushoto) pamoja na Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten na Radio Magic FM, Said Kilumanga (wa pili kulia). Wameiomba Jamii yenye huruma kumsaidia kwa hali na mali mchezaji huyo ambaye wamemsafirisha kwa gharama zao kutoka Mwanza. (PICHA ZOTE NA KAMANDA  RICHARD MWAIKENDA)
Modest akitembea kwa taabu huku akisaidiwa na mdogo wake Francis

No comments :

Post a Comment