Mratibu
wa Tamasha la Injili la Pasaka Tanzania, Alex Msama (kushoto),
akimkabidhi msaada wa sh. mil. 1, mchezaji wa zamani wa Simba na Taifa
Stars, Alphonce Modest za kusaidia matibabu ya miguu inayosumbuliwa na
baridi yabisi. Msaada huo uliokabidhiwa Dar es Salaam leo, ulihamasishwa
na Mhariri Kiongozi wa gazeti la Champion, Saleh Ali (wa pili kushoto)
pamoja na Mtangazaji wa Kituo cha Televisheni cha Channel Ten na Radio
Magic FM, Said Kilumanga (wa pili kulia). Wameiomba Jamii yenye huruma
kumsaidia kwa hali na mali mchezaji huyo ambaye wamemsafirisha kwa
gharama zao kutoka Mwanza. (PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA)
 |
Modest akitembea kwa taabu huku akisaidiwa na mdogo wake Francis |
No comments :
Post a Comment