Rais
Mstaafu awamu ya Pili Ali Hassan Mwinyi akisisitiza jambo wakati
alipokuwa katika mazungumzo na viongozi mbali mbali akiwemo Rais Mstaafu
awamu ya Tatu Mhe. Benjamim William Mkapa (kushoto), Jaji Mkuu Othman
Chande (wapili kushoto), Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Sadik Meck Sadik
(watatu kushoto) pamoja na Katibu Mkuu kiongozi Balozi Ombeni Sefue jana
jioni wakati wa futari iliyoandaliwa nyumbani kwa Balozi Sefue jijini
Dar es Salaam kwa ajili ya viongozi mbalimbali serikalini. (Picha na
Freddy Maro).
ENEO LA HIFADHI YA NGORONGORO NI URITHI WA DUNIA, TUENDELEE KULITUNZA; DKT.
MPANGO.
-
Mwandishi wa NCAA, Arusha.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. Philip Isdor
Mpango amesema eneo la Hifadhi ya Ngorongoro ambalo n...
4 hours ago
No comments :
Post a Comment