Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Friday, August 24, 2012

KIKOSI CHA YANGA CHATINGA IKULU YA RAIS KAGAME



 Rais wa Rwanda, Paul Kagame akisalimiana na mjumbe wa bodi ya udhamini ya klabu ya Yanga wakati msafara wa viongozi na wachezaji wa klabu hiyo walipofika Ikulu ya jijini Kigali. (Picha zote na Saleh Ally)
 Rais Paul Kagame wa Rwanda akisalimiana na kocha Mkuu wa Yanga, Tom Saintfiet wakati msafara wa viongozi na wachezaji wa timu hiyo walipomtembelea Ikulu jijini Kigali.  


 Rais Paul Kagame wa Rwanda akipokea Kombe la klabu Bingwa Afika Mashariki kutoka kwa Nahodha wa Yanga, Nadir Haroub 'Canavaro' na kocha wa Yanga, Tom Sainrfiet
Kikosi cha Yanga pamoja na viongozi wake wakiwa katika picha ya pamoja na Rais wa Rwanda, Poul Kagame (katikati)

No comments :

Post a Comment