Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, August 14, 2012

Benki ya Watu wa Zanzibar yafutarisha, Daktari Shein ashiriki.





Waumini wa Dini ya Kiislamu wakiwa kwenye Futari iliyoandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ, hafla hiyo ilifanyika jana katika ukumbi wa Salama Bwawani Mjini Zanzibar
Baadhi ya kinamama waliohudhuria futari hiyo wakichukua futari.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj
Dk.Ali Mohamed Shein, akiwasili katika viwanja vya Salama Bwawani Hotel, kuhudhuria katika Futari iliyoandaliwa na Benki ya Watu wa Zanzibar PBZ jana jioni na kupokelewa na Mwenyekiti wa Bodi ya Benki Mzee Abrahmani Mwinyijumbe (wapili kulia) na Meneja wa Benki hiyo Juma Amour (kushoto).
Dk. Shein akichukua Futari.

No comments :

Post a Comment