Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, August 15, 2012

SUPER D AWAKUMBUKA TX MOSHI WILIAMU NA SELEMANI MBWEBWE


Msemaji wa Bendi ya Msondo Ngoma Music Band  Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa katika picha ya pamoja na  marehemu TX Moshi Wiliamu kipindi cha uai wake nae akiwa kama mshabika kabla ya kupewa cheo alichonacho ndani ya Msondo ngoma kuelekea  sikukuu ya Idi mosi ambapo watakutana na wakongwe wenzao Ocherster Sikinde kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jijini Dar es salaam kwa wapenzi.picha na www.burudan.blogspot.com
Msanii wa mziki wa Dance ambaye ni Marehemu Selemani Mbwembwe enzi za uai wake akiimbia bendi ya Msondo .picha na www.burudan.blogspot.com
Msemaji wa Bendi ya Msondo Ngoma Music Band  Rajabu Mhamila 'Super D' kushoto akiwa katika picha ya pamoja na  marehemu TX Moshi Wiliamu kipindi cha uai wake nae akiwa kama mshabika kabla ya kupewa cheo alichonacho ndani ya Msondo ngoma kulia kuelekea  sikukuu ya Idi mosi ambapo watakutana na wakongwe wenzao Ocherster Sikinde kwa ajili ya mpambano wao utakaofanyika jijini Dar es salaam kwa.picha na www.burudan.blogspot.com

No comments :

Post a Comment