Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 4, 2012

KAMPUNI YA SIMU YA MKONONI ZANTEL YATOA OFA MSIMU SABASABA



 (NA PHILEMONI SOLOMON WA FULLSHANGWE)
KAMPUNI ya simu ya mkononi ya ZANTEL katika msimu huu wa sikukuu ya sabasaba
imetoa ofa maalum ya kifurushi cha Intaneti cha unlimited ambapo mteja anaponunua
anapewa bure kwa siku tatu.
Kauli hiyo ilitolewa Jijini Dar es Salama jana na Mratibu wa masoko wa zantel Nderingo Materu katika viwanja vya maonesho ya 36 ya biashara ya
kimataifa ndani ya uwanja wa Mwalimu JK Nyrere.
Materu alisema sambamba na ofa hiyo pia wateja wasisahau kwamba ukiwa na laini
ya Zantel unaweza kupiga simu kwa dakika moja kwenda mitandao yoyote
nchini.
Hivyo aliwaomba wateja waweze kujipatia laini hizo mapema ambazo zinatolewa bure katika viwanja hivyo kwa watu wote.
Pia alisema zantel ikiwa ni wazamini wa Bongo Star Search kwa mwaka huu imejipanga kisawa sawa kuwainua vijana kiuchumi.

No comments :

Post a Comment