Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 19, 2012

KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA AIRTEL YAZINDUA HUDUMA KABAMBE YA ‘DAKA SALIO’



Meneja Uhusiano wa Airtel Bw. Jackson Mmbando akizungumza na vyombo vya habari ambapo pamoja na kufafanua huduma iliyozinduliwa na kampuni hiyo, amesema kwa sasa mteja yeyote anaweza kukopa ikiwa tu amekuwa mteja wa Airtel kwa mfululizo wa siku 90 na awe anasalio la hadi shilingi 50 na asiwe anadaiwa deni la ‘Daka Salio’ ikiwa alishakopa kupitia huduma hiyo. Kulia ni Meneja Masoko Bw. Salim Madati na kushoto ni Afisa Uhusiano wa Matukio Dangio Kaniki.
Bw. Jackson Mmbando (katikati) akionyesha miongoni mwa mabandiko yanayoashiria kuzinduliwa kwa huduma kabambe ya ‘Daka Salio’.
Na.MO BLOG TEAM
Kampuni ya simu za mkononi ya Airtel imezindua huduma kabambe ya ‘Daka Salio’ ikiwa ni jitihada zake katika kutimiza dhamira yake ya kuendelea kutoa uhuru wa kuongea kwa wateja wake nchini.
Akizungumza na waandishi wa habari, Meneja Uhusiano wa Airtel Bw. Jackson Mmbando amesema Airtel imeamua kuleta huduma hii ya ‘Daka Salio’ kwa wateja wake wote ili waendelee kufurahia huduma zao kila wakati.
Amesema huduma hiyo ni nzuri kwa familia, marafiki, ndugu au jamaa kwa kuwa itaondoa tatizo la watu kubeep.zaidi tembelea http://dewjiblog.com

No comments :

Post a Comment