Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, July 17, 2012

Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Zanzibar Bi.Asha Seif Balozi Ashiriki Fainali Za Kombe la Zaweda



 Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi Kombe la Ubingwa na ZAWEDA , nahodha  wa timu ya Newstar ya Kiwengwa Masoud  Maulid, baada ya kuishinda timu ya White Kids ya Mahonda,katikati Mke wa Makamu wa Pili wa Rais Mama  Mbunge wa Kitope Bi.Asha Seif Balozi. mchezo uliofanyika uwanja wa Kitope. 1--0
 Mwakilishi  wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi  Seti ya Jezi na Mpira Nahodha wa timu ya  White Kids, Ussi Ali, baada timu yake kuibuka mshindi wa Pili wa michuano hiyo.
 Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mhe.Mohammed Raza na Mke wa Mbunge wa jimbo la Kitope Mama Asha Balozi.wakibadilishana mawazo wakati wa  mapumziko ya mchezo huo wakiwa na wajumbe  wa kamati ya michuano hiyo.

No comments :

Post a Comment