Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi Kombe la Ubingwa
na ZAWEDA , nahodha wa timu ya Newstar ya Kiwengwa Masoud Maulid,
baada ya kuishinda timu ya White Kids ya Mahonda,katikati Mke wa Makamu
wa Pili wa Rais Mama Mbunge wa Kitope Bi.Asha Seif Balozi. mchezo
uliofanyika uwanja wa Kitope. 1--0
Mwakilishi wa Jimbo la Uzini Mohammed Raza, akimkabidhi Seti ya Jezi
na Mpira Nahodha wa timu ya White Kids, Ussi Ali, baada timu yake
kuibuka mshindi wa Pili wa michuano hiyo.
Mwakilishi wa jimbo la Uzini Mhe.Mohammed Raza na Mke wa Mbunge wa jimbo
la Kitope Mama Asha Balozi.wakibadilishana mawazo wakati wa mapumziko
ya mchezo huo wakiwa na wajumbe wa kamati ya michuano hiyo.
No comments :
Post a Comment