Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, July 4, 2012

Prof. Ibrahim Lipumba atembelea Sabasaba leo



-Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Ofisi wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Pilly Mpenda (kushoto)  juu ya faida za kujiunga na mfuko huo wakati kiongozi huyo alipotembelea maonyesho ya 36 ya kimataifa ya Dar es alaam jana katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere. Katikati ni Afisa wa NSSF anahusika na mambo ya Itifiki Juma Kintu.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba(kushoto) akipata maelezo kutoka kwa Afisa Mauzo na Masoko David Manyanga(kulia) juu ya faida ambazo mkulima anaweza kuzipata baada ya kununua mashine ya kupanda mpunga aina ya SPW 48C wakati kiongozi huyo alipotembelea maonyesho ya 36 ya kimataifa ya Dar es alaam jana katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF) Profesa Ibrahim Lipumba(kulia) akipata maelezo kutoka kwa Afisa wa Fao la Matibabu wa  Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) Aisha Marine  (kushoto)  jinsi wanachama wa mfuko huo wanavyonufaika na huduma hiyo  wakati kiongozi huyo alipotembelea maonyesho ya 36 ya kimataifa ya Dar es alaam jana katika Viwanja vya Mwalimu J.K. Nyerere. Katikati ni Afisa wa NSSF anahusika na mambo ya Itifiki Juma Kintu.

Picha na Tiganya Vincent - MAELEZO- Dar es salaam.

No comments :

Post a Comment