Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Thursday, July 12, 2012

SARA RAMADHAN ALALAMIKIA TFF KUMUENGUA UCHAGUZI WA YANGA



Aliyekuwa mgombea wa klabu ya Yanga Spots Bi. Sara Ramadhani, akielezea mbele ya waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam, juu ya kuenguliwa kwake katika kinyang'anyiro cha uenyekiti na klabu ya Ynaga, kwa madai ya kutokidhi vigezo Sara Ramadhan amesema  shirikisho hilo halina mamlaka ya kuingilia shughuili za klabu, pia amesisitiza kuwa yeye bado ni mgombea halali wa nafasi ya uenyekiti wa Yanga na kuwa sababu za kumuengua kwa kuwa hakupeleka vyeti katika shirikisho si sahihi na anapaswa kufanya hivyo endapo baraza la michezo ndio lingehitaji vyeti kwa kuwa Yanga ni klabu ya michezo mingi na si mpira wa miguu pekeee

No comments :

Post a Comment