Aliyekuwa mgombea wa klabu ya Yanga Spots Bi. Sara Ramadhani, akielezea mbele ya waandishi wa Habari leo jijini Dar es Salaam, juu ya kuenguliwa kwake katika kinyang'anyiro cha uenyekiti na klabu ya Ynaga, kwa madai ya kutokidhi vigezo Sara Ramadhan amesema shirikisho hilo halina mamlaka ya kuingilia shughuili za klabu, pia amesisitiza kuwa yeye bado ni mgombea halali wa nafasi ya uenyekiti wa Yanga na kuwa sababu za kumuengua kwa kuwa hakupeleka vyeti katika shirikisho si sahihi na anapaswa kufanya hivyo endapo baraza la michezo ndio lingehitaji vyeti kwa kuwa Yanga ni klabu ya michezo mingi na si mpira wa miguu pekeee |
BONDIA RAMADHANI MIGWENE AMUWEKEA MIKWALA ALBANO CLEMENT BAADA YA KUKIMBIWA
NA HABIBU PENGO
-
BONDIA RAMADHANI MIGWEDE baada ya kukimbiwa na mpinzani wake Habibu Pengo
aliesaini nae kuzipiga mara ya kwanza sasa amebadilishiwa mpinzani na
atacheza na...
2 years ago
No comments :
Post a Comment