Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 21, 2012

SEMENYA KUBEBA BENDERA NA KUONGOZA KIKOSI CHA AFRICA KUSINI UZINDUZI WA OLYMPIC, JULAI 27.



 Aliyewahi kuwa  bingwa wa dunia wa mita 800, binti Semenya kutoka Afika Kusini anatarajiwa kubeba bendera na  kukiongoza kikosi cha Afrika Kusini katika sherehe za uzinduzi wa michuano ya Olympic, mjini London.  
Chama cha michezo Africa Kusini pamoja na kamati ya Olympic (Sascoc) walitoa tangazo hilo siku ya jumatano katika sherehe za kuiaga timu hiyo kabla ya kuelekea London.
Ikiwa amezaliwa katika kijiji kidogo cha GaMasehlong huko Limpopo, Semenya alishinda taji la dunia katika mashindano ya kimataifa ya riadha kwa mita 800, mjini Berlin, Germany, mwaka 2009. Wakati huo akiwa na umri wa miaka 18 tu.

No comments :

Post a Comment