Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, July 21, 2012

SPIKA WA BUNGE ATOA POLE NA SALAMU ZA WABUNGE KWA RAIS WA ZANZIBAR



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akipokea Salam za Rambi rambi kutoka Spika wa
Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,akiongoza Ujumbe
wa Wabunge hilo walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa
Rais,kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya
Segul iliyozana juzi Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.[Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akizungumza na Spika wa  Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,pamoja na Ujumbe Wabunge aliofuatana
nao wakati walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa
Rais,kutokana na msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya
Segul iliyozana juzi Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.[Picha
na Ramadhan Othman,Ikulu.]
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi
Dk. Ali Mohamed Shein,akisalimiana na Spika wa Bunge la Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania,Anne Makinda,akiongoza Ujumbe wa Wabunge hilo
walipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo kutoa  pole kwa Rais,kutokana na
msiba wa ajali ya Meli ya Mv Skagit ya Kampuni ya Segul iliyozana juzi
Ikitokea Dar es Salam na kuelekea Zanzibar.[Picha na Ramadhan
Othman,Ikulu.]

No comments :

Post a Comment