Meneja wa
huduma kwa wateja wa benki ya NMB tawi la Same , Anna Efrem (kushoto) akikabidhi
zawadi kwa mwanafunzi Omari Silayo baada ya kuibuka mshindi wa kwanza kwa
wanafunzi wa shule ya msingi Majengo iliyopo wilayani Same,kujibu maswali vizuri juu ya ufahamu wa
masuala ya kibenki kuhusu mpango wa NMB Financial Fitness uliozinduliwa na
benki hiyo kwa watoto wilayani humo.PICHA NA GLADNESS MUSHI,
BALOZI MATINYI AHIMIZA WAFANYA BIASHARA KUSHIRIKI MAONESHO ALGERIA
-
Balozi wa Tanzania nchini Algeria, Mhe. Mobhare Matinyi, akipatiwa maelezo
ya namna kampuni ya Riad Hanieth Food Supplies ya Jordan yenye tawi lake
nchi...
2 days ago

No comments :
Post a Comment