Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 20, 2013

BOB JUNIOR AZIDI KUKUBALIKA ULAYA, KUPIGA SHOW DENMARK MWEZI HUU.





Baada ya kupiga shows katika nchi kadhaa Europe kama Holland, Norway and now yupo Germany, Tanzanian Bongofleva singer Bob Junior ambaye anatamba na nyimbo kibao amepata mchongo mwingine wa kupiga show nchini Denmark ili kuwapa burudani mashabiki wake wa huko. Akichonga na swahiliworldplanet kutoka pande za mamtoni Bob junior alikiri kuwa na show nchini humo tarehe 29 mwezi huu "yah nipo na show denmark tru dat 29 march". pia chanzo kimoja kutoka Denmark kimekiri Bob Junior kuwa na show hiyo.

Kila la kheri bob Junior kwa kuzidi kupaa kimuziki na kuitangaza vyema bongofleva huko Europe.

No comments :

Post a Comment