Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 26, 2013

WABUNGE ZITTO KABWE, IDD AZAN NA WENZAO WAHITIMU MAFUNZO YA AWALI YA JKT KAMBI YA MGAMBO 835KJ



Mbunge wa Kigoma Kaskazini (CHADEMA), Zitto Kabwe pamoja na Wabunge wenzake kadhaa vijana leo wamemaliza rasmi mafunzo yao ya awali ya JKT katika kambi ya Mgambo 835 KJ iliyopo Mkoani Tanga.

Pichani juu ni Zitto Kabwe akijiandaa kwenda katika gwaride la mwisho na picha chini akiwa shambani pamoja na Mbunge mwenzake  Iddi Azan, Abdallah haji, Raya Ibrahim na Antony Mbassa wakiwa katika kambi ya Mgambo 835KJ.

 Zitto Kabwe, amesema amefurahishwa na mazoezi na mafunzo yatolewayo ya kambi hiyo na kuwapongeza wale wote waliyowahi kupia mafunzo hayo ambapo leo anahitimisha  mafunzo hayo na kujiwekea historia ya kubwa katika maisha yake.
Baadhi ya Wabunge waliohitimu mafunzo hayoleohii, Zitto Kabwe, Iddi Azan, Abdallah haji, Raya Ibrahim na Antony Mbassa, wakiwa katika moja ya shamba darasa la kambi hiyo.

2 comments :

  1. I do not even understand how I ended up here, but I assumed this publish
    was good. I don't recognise who you are however certainly you're going to a famous blogger should you are not
    already. Cheers!

    My site :: bad credit manufactured home loan

    ReplyDelete
  2. Exceptional post however I was wondering if you
    could write a litte more on this subject? I'd be very thankful if you could elaborate a little bit further. Thanks!

    Feel free to visit my site - click through the next post

    ReplyDelete