Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 27, 2013

DOUBLETREE BY HILTON YAKABIDHI TAA ZA KUTUMIA MIONZI YA JUA KWA WANAFUNZI WA SHULE YA MSINGI MIKOCHENI A



Mwalimu Mkuu wa Shule ya Msingi Mikocheni A jijini Dar es Salaam, Salehe Makwiro (kulia) akipokea sehemu ya msaada wa taa 200 za kutumia mionzi ya jua kwa ajili ya wananfunzi wa darasa la saba ambao watazitumia kwa ajili ya kujisomea. Kulia ni Mkurugenzi wa Mauzo wa Hoteli ya Doubletree by Hilton, Florenso Kirambata na Meneja Mkuu wa Doubletree by Hilton, Sven Lippinghof.
Meneja Mkuu wa Doubletree by Hilton, Sven Lippinghof akiwaelekeza wanafunzi wa Shule ya Msingi Mikocheni A jijini Dar es Salaam jinsi ya kutumia taa zinazotumia mionzi ya juu mara baada ya kukabidhi taa 200 kwa ajili ya wanafunzi wa darasa la saba katika shule hiyo.
Mkurugenzi wa Mauzo wa Hoteli ya Doubletree by Hilton, Florenso Kirambata akiwafundisha jinsi ya kutumia taa zinazotumia mionzi ya jua wanafunzi wa Shule ya Msingi Mikocheni A jijini Dar es Salaam leo, wakati uongozi wa hoteli yhiyo ulipokabidhi msaada wa taa 200 kwa wanafunzi wa darasa la saba wa shule hiyo kwa ajili ya kuwasaidia wakati wa kusoma. (Picha na Habari Mseto Blog)

No comments :

Post a Comment