Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 20, 2013

KIBA KUACHIA VIDEO MPYA



Na Elizabeth John

BAADA ya kutamba na kibao chake cha ‘Kidela’, mkali wa muziki wa kizazi kipya nchini, Abdukarim Kiba ‘Abdukiba’ anatarajia kuachia video ya kibao hicho hivi karibuni.
Mbali na ‘Kidela’ Abdukiba alishawahi kutamba na vibao vyake kama, Kizunguzungu, Demu sio na nyinginezo ambazo zilimtambulisha na kufanya vizuri katika tasnia ya muziki huo.
Akizungumza jijini Dar es Salaam, Abdukiba alisema yupo katika hatua za mwisho za uandaaji wa kibao hicho ambacho anatarajia kukisambaza wiki ijayo.
“Namshukuru mungu kazi hii imepokelewa vizuri na mashabiki wangu nab ado inaendelea kufanya vizuri, naomba tu wapenzi wangu wasichoke kunipa sapoti bado kuna vitu vizuri ambavyo nimewaandalia,” alisema.
Abdukiba alisema, video hiyo amefanya na mtayarishaji maarufu nchini Adamu Juma, ambapo yeye ndio ameandaa mazingira ambayo wamefanyia kazi hiyo.

No comments :

Post a Comment