Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Wednesday, March 20, 2013

Mmiliki wa Hoteli ya Pack Zanzibar Kikaangoni!


Mkurugenzi Mkuu wa Mmlaka wa Mji Mkongwe wa Zanzibar Nd. Said Sarboko Makarani akimuelezea Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif  jinsi mmiliki wa Hoteli ya Pack iliyopo Kinu cha Taa Malindi anayeendeleza ujenzi  eneo la pembezoni mwa Hoteli yake licha ya kupewa barua ya kusitisha ujenzi huo na mamlaka hiyo.
Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar Balozi Seif Ali Iddi akiuagiza Uongozi wa Mamlaka ya Mji Mkongwe wa Zanzibar pamoja na Idara ya Ardhi na Mipango Miji kumwita Mmiliki wa Hoteli ya Pack iliyopo Kinu cha Malindi anayejenga eneo la wazi mbele ya hoteli hiyo bila ya idhini ya Mamlaka hiyo.

No comments :

Post a Comment