Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Saturday, March 23, 2013

TTCL YAZINDUA KITUO CHA HUDUMA KWA WATEJA


Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa. akizungumza

Wafanyakazi wa Kampuni ya TTCL wakimsikiliza kwa makini Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa.

Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akipata maelekezo baada ya kuzindua


 Ofisa Masoko Mkuu na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota akizungumza wakati wa uzinduzi wa uzinduzi wa Kituo cha Huduma kwa Wateja katika eneo la Kamata jijini Dar es Salaam, leo. Kushoto ni Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa.
 Meya wa Manispaa ya Ilala, Jerry Silaa akizindua Kituo cha Huduma kwa Wateja cha Kampuni ya TTCL leo. Kushoto ni Ofisa Masoko Mkuu na Mauzo wa Kampuni ya Simu Tanzania (TTCL), Peter Ngota.

No comments :

Post a Comment