Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Tuesday, March 26, 2013

MASHINDANO YA SHIMIWI KUFANYIKA SEPTEMBER 21 HADI OCTOBER 5 MKOANI DODOMA





SHIRIKISHO la michezo kwa wizara, idara ,taasisi na mashirika ya serikali limewataka viongozi wa michezo kudhibitisha mapema ushiriki wao katika mashindano kabla ya AUGASTI mwaka huu na kutuma majina ya michezo watakayoshiriki.
Katibu mkuu wa SHIMIWI RAMADHANI SULULU amesema mashindano hayo yamepangwa kufanyika SEPTEMBER mwaka huu mkoani DODOMA lakini yamekuwa yakigubikwa na mamluki jambo ambalo halikubaliki katika mashindano hayo 
SULULU amesema shiriki wanatakiwa kuanza mazoezi mapema ,lakini kulipa ada ya uwanachama shilingi laki sita, ada ya ushiriki laki nne na mchango wa ujenzi wa kiwanja laki mbili.
Mchezo inayoshindaniwa ni soka, netiboli kukimbia, kuvuta kamba, darts, drafti, baiskeli, karata pamoja na mchezo wa bao.

No comments :

Post a Comment