Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 11, 2013

DK.SHEIN ALIPOFUNGA ZIARA YAKE WILAYA YA KATI.



Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akimtwisha ndoo ya maji Asha Mohamed Abdulla, wa Kijiji cha Chwaka,mara baada ya kuzindua Mradi wa Maji Safi na Salama, Sherehe ya ufunguzi wa Mradi huo umefanyika Kijijini hapo jana, alipokuwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wa Kusini jana.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein, akifungua bomba la maji  kuzinduia Mradi wa Maji Safi na Salama wa Kijiji cha Chwaka,Wilaya ya Kati Unguja, alipokuwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wa Kusini jana.
Wazee wa Kijiji cha Chwaka wakiwa na fuaraha kubwa na kumsikiliza  Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi wakati wa sherehe
ya uzinduzi wa Mradi wa Maji Safi na salama Kijijini hapo jana alipokuwa katika ziara ya kufungua miradi mbali mbali ya maendeleo katika Mkoa wa Kusini Unguja.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Ali Mohamed Shein,alipokuwa akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Chwaka,Wilaya ya Kati Unguja,wakati wa sherehe ya uzinduzi
wa Mradi wa Maji Safi na salama jana.

No comments :

Post a Comment