Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 11, 2013

TASWIRA KATIKA MAONYESHO YA UTALII YA ITB BERLIN UJERUMANI LEO



1Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Dk. Aloyce Nzuki akiwa katika mazungumzo na Rica Rwigamba Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii nchini Rwanda wakati alipokutana katika maonyesho ya dunia ya Utalii ITB yanayofanyika kwenye jengo la Messe Berlin jijini Berlin Ujerumani, Monyesho hayo yanahusisha makampuni yenye kutoa huduma mbalimbali za utalii duniani ambao hukutana na kutangaza utalii wa nchi zao huku wakifanya makubaliano na kuingia mikataba mbalimbali ya kuuziana bidhaa za kitalii, Maonyesho hayo yanamalizika rasmi leo. 2Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani akizungumza na Ibrahim Mussa Mkurgenzi wa Utalii Wizara ya Maliasili na Utalii katikati ni Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Christopher Mvula akisikiliza kwa makini wakati Balozi huyo alipotembelea katika banda la Tanzania kwenye maonyesho ya ITB yanayomalizika leo jijini Berlin Ujerumani kulia ni Mkurugenzi wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Dk. Aloyce Nzuki .(PICHA NA FULLSHANGWEBLOG) 4Meneja Masoko wa Bodi ya Utalii Tanzania TTB Geofrey Meena kushoto akitembelea Banda la Kampuni ya Pongo Safaris katika maonyesho ya Utalii ya ITB, wengine kutoka kulia ni Marlon Van Hee Meneja Mradi wa kampuni ya ECEAT PROJECTS ya Uholanzi ,Julias Alexander Pundo Mwakilishi wa kampuni ya Ramogi Tours & Travel Limited Jumuiya ya Ulaya na Cynthia Ponera Mkurugenzi wa Masoko wa Kampuni ya Pongo Safaris 6Wadau wa Ujerumani hawakukosa kutembelea maonyesho hayo hapa walikuwa wakipata Menyu wakati wa hafla ya Jumuiya ya Afrika Mashariki 10Team Tanzania wakiwa katika picha ya pamoja mara baada ya kazi kubwa ya kuuza utalii wa Tanzania kwenye maonyesho hayo. 11Nami nikajichanganya kwenye Banda la Pongo Safaris na Ramogi Tours hapa nikipata picha na Julius wa Ramogi Tours pamoja na Cynthia wa Pongo Safaris 12Kaimu Balozi wa Tanzania nchini Ujerumani Christopher Mvula akizungumza jambo na Mkurugenzi wa Kampuni ya ndege ya Flightlink Capt. Munawer Dhirani wakati walipokutana katika maonyesho hayo
9

No comments :

Post a Comment