Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha dharura
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.Mzee Kingunge alikimbizwa
Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya.jopo la madaktari bingwa
linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.
Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa
Mzee Kingunge Bwana Kinjekitile. (Picha na Freddy Maro)
RAS MKOA WA PWANI AFUNGUA MAFUNZO YA O&OD
-
Katibu Tawala wa Mkoa wa Pwani, Pili Mnyema, amefungua kikao kazi cha
mafunzo ya siku mbili kwa vikosi kazi vya utekelezaji wa Mfumo wa Fursa na
Vikwaz...
1 day ago
No comments :
Post a Comment