Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete na Mkewe Mama Salma Kikwete wakimjulia hali
Mzee Kingunge Ngombale Mwiru aliyepumzishwa katika chumba cha dharura
katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili leo.Mzee Kingunge alikimbizwa
Hospitalini hapo baada ya kujisikia vibaya.jopo la madaktari bingwa
linamfanyia uchunguzi Mzee Kingunga ili kubaini ugonjwa unaomsumbua.
Aliyesimama Nyuma ya Rais ni mke wa Mzee Kingunge na kushoto ni mtoto wa
Mzee Kingunge Bwana Kinjekitile. (Picha na Freddy Maro)
KAMISHNA BADRU AENDELEA KUIMARISHA UHUSIANO NA JAMII INAYOISHI NDANI YA
HIFADHI YA NGORONGORO
-
Mwandishi wetu Endulen Ngorongoro.
Tarehe 20 Desemba, 2025
Uhusiano kati ya Mamlaka ya Hifadhi ya Ngorongoro (NCAA) na jamii inayoishi
ndani ya eneo la h...
16 hours ago
No comments :
Post a Comment