Tangazo

Sikiliza kipindi cha michezo kutoka CAPITAL RADIO kilasiku 21:00


Viwanjani%20%28Maximo%29
Quantcast

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI

TANGAZO LA UPATIKANAJI WA VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI
VIFAA VYA MCHEZO WA NGUMI PAMOJA NA DVD ZA MAFUNZO SASA ZINAPATIKANA MAKUTANO YA BARABARA YA UHURU NA MSIMBAZI DAR ES SALAAM KARIAKOO ZAIDI WASILIANA NA SUPER D SUPER COACH KWA NAMBA YA SIMU 0713406938 Rajabu Mhamila 'Super D' Photojournalist at Majira, Business Times Email.superdboxingcoach@gmail.com mhamila1@gmail.com www.superdboxingcoach.blogspot.com Mob;+255787 406938 +255774406938, +255713406938 Po.Box. 15493 Dar es Salaam Tanzania

Monday, March 11, 2013

BONDIA Bernard Hopkins, 48, AMEWEKA record YA KUWA BINGWA WA DUNIA AKIWA NA UMRI MKUBWA



BONDIA Bernard Hopkins

48

amemtwanga kwa pointi 117-111, 116-112, and 116-112. bondia  Tavoris Cloud wakati wa mpambano wao wa ubingwa wa Dunia katika mpambano uliofanyika katika jiji la New York City. na kuweka rekodi ya kuwa bingwa mwenye umri mkubwa kuchukua ubingwa wa Dunia  miaka miwili iliyopita Hopkins alimpiga kwa point bondia machachali Chad Dawson katika mpambano wao wa marudiano na kuwa bingwa wa Dunia Bondia huyo mkongwe aliyeweza kudumu katika masumbwi kwa mda mrefu bondia huyo anaefanya kuwa rekodi yake kwa sasa ni on 53 (KO 32) + lost 6 (KO 0) + drawn 2 = 63  katika michezo yake 63 amepoteza mipambano 6 tu rekoni ambayo inamfanya kuwa juu mpaka hivi sasa

No comments :

Post a Comment